iqna

IQNA

mwenyezi mungu
Mawaidha
IQNA – Qur’ani Tukufu katika aya nyingi inazungumza kuhusu majaribu au mitihani ya Mwenyezi Mungu na jinsi Mwenyezi Mungu huwajaribu wanadamu.
Habari ID: 3478127    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01

Sura za Qur'ani Tukufu /87
Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu na ana ujuzi kamili na usiobadilika wa yaliyo dhahiri na yaliyofichika.
Habari ID: 3477185    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/24

Sura za Qur'ani Tukufu / 67
TEHRAN (IQNA) – Uwezo usio na kikomo wa Mwenyezi Mungu umeonyeshwa katika Sura tofauti za Qur’ani Tukufu, lakini kwa namna ya pekee katika Sura Al-Mulk, inayoashiria mamlaka na adhama ya Mwenyezi katika ulimwengu wote.
Habari ID: 3476694    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu / 13
TEHRAN (IQNA) – Ni sunna ya Mwenyezi Mungu huwajaribu waja wake na mitihani hii wakati mwingine ni rahisi na wakati mwingine migumu. Hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kustahimili mitihani ambayo Mwenyezi alimpa Nabii Ibrahim (AS).
Habari ID: 3476252    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/15

Sura za Qur'ani Tukufu / 46
TEHRAN (IQNA) – Watu wanaishi kwa uhuru wakiwa na imani na mawazo tofauti. Wanaweza kukataa ukweli na kufuata mawazo ya uwongo lakini wanapaswa kujua nini hatima inayowangoja wale wanaoikadhibisha ukweli na kufuata uwongo.
Habari ID: 3476225    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10

Fikra za Kiislamu
Tehran (IQNA) - Manadamu anahitaji kujua njia ya haki na kuwa na kuwa na mlingano katika chochote anachotaka kufanya. Njia muhimu zaidi ambayo mwanadamu anapaswa kufuata ni ile inayomuelekeza katika wokovu.
Habari ID: 3476041    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kusafiri sio tu kunaweza kuwa na faida za burudani lakini pia kuna jukumu kubwa katika kuboresha afya ya mtu kiakili. Ndio maana Qur'ani Tukufu ikapendekeza kusafiri na kujionea dunia.
Habari ID: 3475655    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/21

Qur'ani inasema nini / 2
TEHRAN (IQNA)- Wakati Mwenyezi Mungu SWT alipomuumba mwanadamu, alimfanya kuwa Khalifa au msaidizi wake katika ardhi.
Habari ID: 3475280    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/22

TEHRAN (IQNA) - Njia ya maisha ya mwanadamu imepambwa kwa hadaa na vishawishi mbalimbali vya kumdanganya mwanadamu; masuala haya ya hadaa hufanya iwe vigumu kwa wanadamu kufikia malengo halali aliyojiwekea maishani.
Habari ID: 3475225    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/09